-
Swali Muhimu Unalopaswa Kujiuliza Kabla Ya Kulala?
Binadamu yeyote amezaliwa na kupewa kazi maalum ya kuja kushughulika nayo hapa duniani. Kazi hii kama utaifanya na kuitimiza kila siku itakufanya ujisikie huru, lakini pia itawafanya watu unaoishi nao karibu wafurahie maisha. Kiufupi ni kwamba hujaishi siku ya leo kama hujafanya tendo na kuongeza thamani kwa mtu. Usishangae, najua umezoea kila siku unapenda kufanya…
-
Yajayo Yanafurahisha, Upo Tayari?
Je, nitawezaje kuwa na kesho bora? Nifanyeje ili niweze kuiboresha kesho kuwa bora? Nifanyeje ili niwe na maisha mazuri? Haya ni baadhi ya maswali ambayo huulizwa na watu walio wengi sana. wakitaka kujua kama wanaweza kutoboa katika maisha. Ukweli ni kwamba kila mtu anaweza kutoboa na kufikia hatua kubwa sana. Lakini je upo tayari. Kuna…
-
ACHANA NA HAWA WAJINGA.
Kuna watu, yaani yeye asipoonesha ka ishara ka kukupinga haridhiki. Yaani hata kama utafanya mambo mazuri lazima yeye atakuwa na kinyume chako. Yeye furaha yake huja pale anapoonekana amekusema kwa watu wengine.Furaha yake ni kuona doa kwako.Furaha yake ni kwamba wewe urudi chini na yeye apande juu.Yeye anajua njia moja ya kufanikiwa. Na yenyewe ni…
-
Hili Ni Kosa Ambalo Wajasiliamali Wengi Hufanya
Habari ya siku hii njema sana rafiki yangu na ndugu msomaji wa blogu yako ya SONGA MBELE. Imani yangu kwamba leo ni siku njema sana kwako na unaenda kufanya kazi kwa juhudi kubwa sana. Hongera sana kwa siku hii ya leo. Siku hii ya leo napenda nikwambie kosa moja ambalo wajasiliamali walio wengi sana hulifanya…
-
Ukichukia Ngazi Unachukia Mafanikio
Kati ya vitu ambavyo huwa havipendwi na watu walio wengi sana ni ngazi. Yaani kupanda ngazi hatua kwa hatua ni jambo ambalo huwa linachukiza watu walio wengi. Ndio maana unakuta mtu anadiriki kupanda ngazi tatu kwa mkupuo ili awahi kumaliza kuzipanda ngazi hizi. Watu wengine wameenda mbali zaidi kwa kuhakikisha kwamba wanaweka lift katika maeneo…
-
Hii Ni Kazi Kubwa Unayoweza Kujibebesha
Kama kawaida kila siku huwa nasisitiza umuhimu wa kazi. Na kila mara ninapokutana na mtu kitu kikubwa ambacho huwa sifichi huwa ni umuhimu wa kazi. Na jambo hili huwa nalisema au kwa maneno au kwa vitendo. Wakati wa utendaji wa kazi unapaswa kufahamu kwamba kuna kazi za muhimu na kazi ambazo sio za muhimu. Lakini…
-
Usisahau Kushukuru
Kila siku mpya inakuja na mambo mapya. Ndani ya kila siku mpya tunakutana na watu wapya. Kila mtu ana mchango wake katika kuhakikisha sisi tunasonga mbele. Usisahau kushukuru. Usisahau kushukuru kile ambacho watu wanakufanyia.Kuna watu ambao wanaweza kukuzuia wewe kufanya kitu fulani, ila mara ukakaa na kufikiri na kuja na mbinu mpya. usisahau kuwashukuru maana…
-
Kosa Kuu Ambalo Watu Hufanya Wakati Wa Kuweka Malengo
Habari ya siku hii njema sana rafiki na ndugu msomaji wa blogu yako ya songa mbele. Imani yangu kwamba leo ni siku njema sana kwako na unaenda kufanya mambo makubwa sana ndani ya siku hii ya leo. Kiukweli siku hii ya leo ni siku ambapo wewe hapo unapaswa kufanya makubwa sana.Na haya makubwa utayafanya kama…
-
A NOTE FROM SONGA MBELE; GO STRAIGHT TO THE POINT
Mara nyingi sana watu wanapokuwa wanaongea na mtu wanaanza kuongea mbwembwe kibao kabla ya kuongea jambo la msingi. Unakuta mtu ana bidhaa anaanza kuzungumzia hili na kuzungumzia lile badala ya kumwambia mtu kwamba ana bidhaa fulani. Soma Zaidi; A NOTE FROM SONGAMBELE; TOA KINACHOHITAJIKA Au mtu anakupigia simu ana shida, anaanza kupiga stori za juzi.…
-
Ni Mwaka Mmoja Sasa Tangu Kitabu Hiki Kiandikwe
Ni mwaka sasa umepita tangu kitabu cha KUTOKA SIFURI MPAKA KILELENI kiandikwe. Kitabu hiki nilikiandika mfululizo na kukipangilia kwa mwezi mzima. Na mwezi huu haukuwa mwingine bali ni mwezi wa nne 2017. Hapo awali kitabu hiki kilikuwa kimeandikwa kwenye daftari. Kama ambavyo inaonekana hapo juu. Baadae mwezi wa tano wa mwaka jana ulikuwa ni mwezi…
-
A NOTE FROM SONGAMBELE; TOA KINACHOHITAJIKA
Ili umkamate samaki unahitaji kumpa chambo. IPO hivyo. Hakuna jinsi unavyoweza kumakamata samaki kwa kumpa ugali na nyama. Kwa hiyo gharama kubwa ya kumakata samaki ni kutafuta chambo na kumpa. Ukilifahamu hili kwenye safari ya mafanikio wala hata haitakupa taabu, maana utafanya kama unavyofanya kwenye samaki. Na chambo cha mafanikio ni kuwa tayari kulipa gharama.…
-
Huu Ni Aina Ya Ubabe Unaopaswa Kuuonesha
Katika safari nzima ya kutoka sifuri kuelekea kileleni kati ya vitu ambavyo huwezi kuviepuka ni changamoto na vikwazo. Vikwazo vipo,Changamoto zipo,Kukata tamaa kupo,Kukatishwa tamaa kupo,Kukataliwa kupo, Yaani ili kuweza kukifikia kilele cha mafanikio ambayo unayataka basi lazima ujue wazi kwamba changamoto zote hizi lazima utakutana nazo tu.Ila ubora ni kwamba matatizo haya na changamoto sio…
-
Haya Ni Malalamishi Unayopaswa Kuwa Nayo
Habari ya siku hii njema sana ya leo rafiki yangu. Hongera sana kwa siku hii njema sana ya leo. Katika hali ya kawaida watu wanapenda kulalamika. Wanapenda kuilalamikia serikali kwa sababu ya kutotoa fursa. Wanalalamikia serikali kwa kutowajali. Wanailalamikia serikali kwa kutotoa ajira na malalmishi mengine sana. Soma Zaidi; Hizi Ni Sauti Tano Ambazo Hupaswi…
-
Fanya Kile Unachopenda Kuona Kimefanywa
Je, kuna kitu ambacho ungependa kuona kimefanyika?Je, kuna kitabu ambacho unafikiri bado hakijaandikwa?Je, kuna wimbo ambao unajua wazi haujaibwa? Soma Zaidi; Vitu Vinne (04) Vinavyowafanya Waajiriwa Kuendelea Kuajiriwa Rafiki yangu kama unajua kuna kitu ambacho hakijafanyika na ungependa kuona kinafanyika, basi weka juhudi kuhakikisha kwamba kitu hicho kinafanyika. Na unakifanya wewe. Kitu chochote ambacho unapenda…
-
A NOTE FROM SONGAMBELE; Umeongea Na Nani Leo?
kila siku huwa ni siku njema sana ya wewe kuweza kuitangaza BIASHARA yako.Kama wewe Leo hujapiga hata hatua moja kuhakikisha kwamba unaitangaza BIASHARA yako jua kwamba hujaitendea hako BIASHARA yako ipasavyo. Unapaswa kuhakikisha kwamba kila kunapokucha walau unamfikia MTU mmoja wa ziada. Kila siku unapaswa kuitangaza biashara yako ambapo ulikuwa bado hujafanya? Je, umefanya hivyo…
-
HUYU NI MTU UNAYEPASWA KUSHIRIKIANA NAYE
Kila siku unapata nafasi ya kuwa na watu mbali mbali ambao unashirikiana nao. Ila sio kila MTU ambaye unakutana naye anakufaa. Kuna MTU mmoja muhimu sana ambaye unapaswa kushirikiana naye. Na hu sio mwingine. Bali MTU ambaye anakupa changamoto. MTU ambaye nawaza mambo makubwa.Mtu ambaye anawaza chanya.Mtu anayejua umuhimu wa Muda (anatunza miadi).Mtu anayekusikiliza pale unapopaswa…
-
Hivi Ndivyo Unaweza Kusoma Kitabu Kwa Wiki Moja (Mbinu Nne Za Uhakika)
Habari ya siku hii njema sana ya Leo rafiki yangu. Hongera sana kwa siku hii ya leo na ya kipekee sana kuwahi kutokea katika dunia hii. Siku hii ya leo naomba tuangalie ni kwa jinsi gani unaweza kusoma kitabu kwa wiki moja. Moja kati ya changamoto ambayo watu kwa sasa wanayo ni kutosoma. Kila Mara…
-
Vitu Vinne (04) Vinavyowafanya Waajiriwa Kuendelea Kuajiriwa
Habari ya siku hii njema sana rafiki yangu. Imani yangu kwamba leo umekuwa na siku njema sana na bado kuna juhudi zaidi unazidi kuweka ili kuhakikisha kwamba unaweza kufika unapotaka kufika. Hongera sana rafiki yangu. Hivi ushawahi kujiuliza kwa nini watu wanaendelea kukaa ajirani ingawa wanajua wazi kwamba kukaa ajirani hakuwezi kutoshereza mahitaji yao?Ukiongea na…
-
Unawahitaji Watu Ili Kufanikiwa
Moja kati ya vitu ambavyo mara nyingi sana vinakuwa vimesimama nyuma ya ushindi wa watu mbali mbali ni watu. Watu ambao wanakuwa wanakusukuma kuweza kufikia hatua kubwa sana maishani. Soma Zaidi; Usikubali Kukosa Namba Kwa mfano ukifuatilia wanasiasa wakati wa kampeni utagundua wanawatafuta watu ambao wanakuwa na ushawishi sana ili wawasaidie kupiga kampeni. Ukiwaangalia wanamziki…
-
Njia Tano (05) Za Uhakika Za Kupoteza Muda
Ukitaka kujua umuhimu wa mwaka mmoja muulize mwanafunzi aliyerudia mwaka Habari ya siku hii njema sana rafiki yangu. Imani yangu kwamba leo hii ni siku njema sana kwako na unaenda kuitumia siku hii kufanya makubwa sana. Moja kati ya rasilimali muhimu sana katika maisha ni muda. Kuna watu kila kukicha wanautafuta muda zaidi kwa kuwaajiri…
