-
Tuna saa 24 tu kwa siku
-
Baadaye Siku Ya Leo Nitasikika Kwenye Temino Ya Clouds Fm
Hello upande wa huko Nimeshaamka mapema siku ya leo kama ilivyo kawaida yangu. Na kama kawaida hapa nipo nyuma ya PC yangu nikiwa naandika kitu. Leo sina kitu kikubwa sana cha kukwambia labda taarifa fupi tu kuwa Baadaye siku ya leo Nitakuwa kwenye Temino ya Clouds Fm, kipindi kinachoendeshwa na Harris Kapiga, tukipiga stori kuanzia…