-
Mimi Nakuamini Sana
Kama kuna mtu namwamini Basi, Ni wewe…Naamimi haukati tamaaNaamimi hauko tayari kurudi nyuma hata ukikutana na kikwazoNa hicho kitu ukiendeleze kila siku.Usikate tamaa na wala usirudi nyuma.Endelea kupambana. Kikubwa ujue malengo yako.Uyafanyie kazi kila siku hata kama ni kwa udogo Unaweza usione matokeo kwa muda mfupi, Ila Hilo kisikukatishe tamaa. Maana yajayo yanafurahisha. Ni MimiGodius…
-
USHAURI: Jinsi Ya Kutunza Fedha Itakayokusaidia Kuanzisha Biashara
Moja ya eneo muhimu sana kwenye maisha ya kila siku Ni fedha. Upende usipende fedha ni muhimu tena sana. Maana hakuna hata siku inapita bila ya wewe kutumia fedha. Ukiamka tu asubuhi, ujue kitanda ulichokuwa umelalia ni FEDHA.Ukivaa nguo zako, ujue umevaa fedha.Ukipata kifungua kunywa, ujue hizo ni fedha pia.Ukipanda daladala, hiyo nayo ni nini….…