Maendeleo Yetu Kama Taifa Yatatokea Hivi. Tofauti Na hapo Ni Uongo


Maendeleo yetu kama taifa yanaanza na maendeleo ya mtu mmoja mmoja. Kama kila mtu atajitoa kuhakikisha anaongeza kipato chake. Kila mtu atajitoa kuhakikisha kwamba anakuwa bora kwenye kile anachofanya basi ni wazi kwamba taifa hili litaendelea kwa kasi sana.

Binafsi naona kuna vikwazo vitatu vinazuia hili. Na tabia hizi zipo zaidi kwa vijana ambao ndio nguvu kazi ya nchi. Lakini athari yake ni kwa watu wote (wanaohusika na wasiohusika). 

kwa mfano kuna vijana asipokuwepo mtu hawawezi kujituma, hawawezi kufanya kazi kwa bidii. hawawezi kwenda hatua ya ziada.Kwao mpaka awepo mtu wa kumwambia nenda huku, au usiende kule, mpaka awepo mtu wa kumwambia fanya hiki au achana na kile. ASIPOKUWEPO MTU WA AINA HII BASI KAZI INAKWAMA.

unaweza kuona wazi kwamba tabia hizi sio za kuendeleza hata kidogo.

basi kwa msingi huo nikualike ili uweze kusikiliza somo hili hapa mpaka mwisho.
https://youtu.be/VbgeSLWDKzs

usishau KUSUBSCRIBE.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X