Hii Ni Zawadi Nzuri Ambayo Unaweza Kuwapa Watu Msimu Huu Wa Sikukuu


Ni kawaida ya watu wengi sana kutoa zawadi ka wayu wengi tuwapendao msimu kama huu wa krismasi. Hasa kwa tar 26 ambayo ndio sjku maarumu ya kufungua zawadi. Mwaka huu ushajiuliza utampa nini mtu ambaye unampenda. Songa mbele  blog imekuletea zawadi nzuri ambayo unaweza kumpa umpendaye na zawadi hii itadumu kwa kipindi chote maisha ya yule ambaye umemununulia. Zawadi hii ni ipi? Zawadi hii ni kitabu cha BIASHARA NDANI YA AJIRA. Hiki ni kitabu kizuri kwa mtu ambaye amejipanga na kajiwekea malengo 2017. Ambaye hataki utani ndani ya mwaka 2017. Mtu anayetaka kuuona mwaka 2017 ukiwa wa mafankio makubwa sana kwake.  Hii ndiyo zawadi (kitabu ) ambayo unaweza kumpa baba, mama,  rafiki, ndugu jamaa yako na yeyote umpendaye.

Kitabu kitanisaidia nini?

Najua mwingine atajiuliza kitabu kitanisaidia nini mimi au yule nimpendaye?
Kiukweli utamu a ngoma sharti uingie ucheze. Na uzuri ulio katika kitabu hiki sharti upate nakala yako na uisome ila hapa nitaweka baadhi ya mambo ambayo utayapata kama utackuwa na nakala yako

1. Kutimiza malengo.
Kitabu hiki kina mambo mazuri ndani yake kama nilivyotangulia kusema mwanzoni mwa makala hii

kwamba kwa wale watu ambao hawana utani na mwaka 2017. Yaani watu ambao wamepanga kufanya makubwa sana mwaka 2017. Watu wanaotaka kuuona mwaka 2017 ukiwa wa mafanikio makubwa sana. 
Ni kawaida sana mwanzoni mwa mwaka watu, makampuni, mashirika, na taasisi mwanzoni mwa mwaka kuweka mipango na malengo ambayo huwa yanahitajika kufanyika ndani ya mwaka husika lakini huwa wakifikia mwishoni mwa mwaka huwa hata hawakumbuki hata mipango yao waliiandika wapi. Tatizo ni nini? Kwa majibu haya na mengine mengi sana jipatie nakala kitabu chako cha BIASHARA NDANI YA AJIRA.

2. 2017 ni mwaka wa kuwekeza.
Najua wengi sana wangependa kuwekeza mwaka 2017 na kufanya mambo ambayo yatawasaidia kwenye maisha lakini bado wanajiuliza  maswali kama. 
Kuwekeza ni nini? 
Ni lini napaswa niwekeze? 
Niwekeze katika nini?
Umuhimu wa kuwekeza ni nini?
Au nitafaidika na nini na kuwekeza? 
Kwa majibu haya na mengine mengi tuwasiliane uchukue kitabu chako.
3. Umuhimu wa muda.
Katika kitabu hiki utapata kujifunza jinsi utakavyotumia  masaa 2 4 yako ya kila siku.

Je wajua kwamba  unaweza kuwa na siku mbili ndani ya siku moja?

Je wajua kwamba kuna dakika nyingi sana ambazo huwa tunazipoteza kila siku?

Kujua haya mengine  mengi ambayo yameandikwa kwenye kitabu hiki kuhusu maliasili hii adimu  ya muda wasiliana na mimi ili kuchukua nakala yako sasa upate kujifunza zaidi?

 4. upi ni uovu  bora zaidi?
Kuna watu wangependa kuanza biashara mwaka 2017 ila wanajiuliza maswali
Je niache kazi nifanye biashara?
Je nitafanyaje biashara nikiwa ndani ya ajira?
Mbona mimi nimeridhika na kazi yangu na mshahara unanitosha?
Mbona mimi sihitaji kuingia kwenye biashara sasa hivi?
Kwa majibu hayo na mengine mengi tafadhari wasiliana na mimi kujipatia nakala.

Je kitabu nitakipata wapi?
Kitabu hiki kinapatikana na unaweza kukipata popote pale ulipo nchini.
Kitabu kinapatikana kwangu GODIUS RWEYONGEZA. Unaweza kuwasiliana na mimi kupitia
 0755848391
 godiusrweyongeza1@gmail.com

Lakini pia unaweza kuwasiliana  na mwandishi wa kitabu hiki ambaye ni MAKRITA  AMANI kwa namba
0755953887

Gharama ya kitabu ni 10000 kwa wale wa MOROGORO. Lakini kwa wale ambao watahitaji kusafirishiwa kitabu mtatuma shilingi 15000 ambapo shilingi 10000 ni ya kitabu na 5000 ni gharama ya usafirishaji.
Unaweza kulipia kupitia mpesa kupitia 0755848391 jina ni GODIUS RWEYONGEZA

Lipa sasa ujipatie nakala yako
ya kitabu sasa.
Muda ni sasa pata nakala yako sasa hakuna muda mwingine.

Endelea kusoma makala za kuelimisha na kuhamasisha  kutoka kwenye blogu hii

Ili upate makala maalumu kutoka songambele blogu BONYEZA HAPA ILI KUJIUNGA
Ni mimi rafiki na ndugu yako
Godius Rweyongeza
Tuwasiliane
0755848391
godiusrweyongeza1@gmail.com
Asante.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X