TATIZO SI RASILIMALI ZILIZOPOTEA- 78 tatizo unahairisha kuishi


Watu wengi sana wanahairisha kuishi kila kunapokucha. Anasema kwamba atafanya kazi fulani kesho. Ataishi maisha fulani kesho,
Ataanza kula vizuri kesho akipata kazi nzuri.
Ataanza kuongea na watu vizuri kesho….orodha ya namna hii ni kubwa kiasi kwamba siwezi kuimaliza hapa.

Je, na wewe mmoja wapo?
Kwanza kabisa naomba tufahamu kwamba kesho sio siku.(Rweyongeza, 2017)
Pili tunapaswa kufahamu kwamba muda wa kuishi vizuri ni sasa.
Kama tutaishi vizuri Sasa sio tu kwamba tutakuwa tumefanya tunayopaswa kufanya ndani ya siku hii ya leo bali pia tutakuwa tumeitengeneza kesho bora.

Anza kuishi Sasa.
Kama sio Sasa lini?
Kama sio wewe nani?(Rweyongeza, 2017)

Vitabu muhimu vitakavyokusaidia  kuielewa mada hii kwa undani

1. KUTOKA SIFURI MPAKA KILELENI (tsh 10,000/-) by Godius Rweyongeza

2. BARABARA YA MAFANIKIO (6,000/-) by Edius Katamugora

TUKUTANE KWENYE MEZA YA WANAMAFANIKIO.

Tukutane kwenye mzunguko wa wanamafanikio.

©songambeleblog_2017

Ndimi,
Kocha Godius Rweyongeza
($ongambele)
0755848391
songambele.smb@gmail.com


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X