ONA FURSA, USITAFUTE MAKOSA


.
Ukipita kwenye  jengo la kinyozi anachoona cha kwanza kutoka kwako ni nywele na jinsi anavyoweza kukuchonga vizuri.

SOMA ZAID; Fursa Tano Ambazo Unaweza Kuzifanyia Kazi Kwenye Kilimo Cha Bustani Leo

Ukienda sokoni ukapita kwa mama anayeuza mchicha na nyanya cha kwanza kukwambia itakuwa ni kukukaribisha. Utasikia, karibu sana mwanagu. Ni kwa sababu ameshaona fursa ya kuuza.

soma zaidi; Vitu Vitano Ambavyo Hupaswi Kuridhika Navyo

Je, wewe unapokuwa na watu unaona nini?
Tafuta fursa  kila uendapo ma ina mtu kama fursa kwako.

Ulikuwa nami
Rweyongeza Godius
Tukutane kileleni


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X