Haya Ni Mambo Mawili Ambayo Nategema Kutoka Kwako


Habari ya siku hii njema sana rafiki yangu. Hongera sana kwa zawadi ya siku hii njema ya leo. Kwa siku Sasa nimekuwa nakushirkisha maarifa ya kukuinua ili ufikie kwenye viwango vya juu kupitia kwenye blogu hii hapa. Leo hii ningependa uyajue mambo mawili ambayo nayategemea kutoka kwako.

1. Kufanyia kazi kile ambacho unajifunza  kwenye blogu hii.
2. Kumshirikisha walau mtu mmoja kile unachojifunza. Jambo hili litakusaidia wewe utakapokuwa umefima kileleni, huku Nyuma hakutakuwepo na watu wa kukuvuta na kurudisha nyuma. Maana watu wako wote wa karibu utakuwa umewapa maarifa na wao wameinuka.

Umekuwa nami,
Godius Rweyongeza
0755848391
KUPATA KITABU CHA KUTOKA SIFURI MPAKA KILELENI BONYEZA HAPA

HUDUMA NYINGINE UNAZOWEZA KUPATA KWANGU HIZI HAPA
KUPATA MAKALA MAALUM KWA WATU MAALUM KILA WIKI BONYEZA HAPA


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X