Huu Ndio Upekee Wa Vitabu Hivi Viwili


Siku chache zilizopita Kuna mtu alikuwa anaangalia kava za vitabu vyangu viwili vya KUTOKA SIFURI MPAKA KILELENI na TATIZO SI RASILIMALI ZILIZOPOTEA. Alipomaliza kuziangalia alisema maneno yafuatayo.
Kiukweli unajitahidi sana kuhakikisha unatengeneza kava nzuri za vitabu.
Bila kuchelewa ilibidi nimwambie ukweli huu ambao niliona alikuwa haujui. Nilisema, “kama unavyoona kava za vitabu vyangu zilivyo vizuri, ndivyo na kile kilichondani kilivyo kizuri zaidi”.

Huu Ni ukweli ambao hakuujua. Inawezekana na wewe hukuujua pia.
Sasa kama wanavyosema wahenga kuwa utamu wa ngoma sharti uingie ucheze. Vivyo hivyo ukitaka kujua ubora wa vitabu hivi vichukue uvisome na ufanyie kile kilichomo humu
Kitabu cha kutoka sifuri mpaka kileleni kimekuandalia masomo mazuri kukutoa hapo ulipo na kwenda hatua ya ziada. Unaweza kusoma maelezo zaidi hapa kuhusu kitabu hiki.
Kitabu cha TATIZO SI RASILIMALI ZILIZOPOTEA kimebeba mafundisho mazito ambayo yatakufanya uache kulalamika na uanze kuchukua hatua, ubebe majukumu ya maisha yako na kuacha kufikiria kwamba wengine ndio wanaohusika.
Uanze kutumia uwezo wako kipkee ulionao. 

Katika kitabu hiki pia nimezungumzia juu ya kitu ambacho huwa husikii Mara kwa mara watu wakikwambia. Kitu hiki ni kulipa gharama.

Nikushauri tu ujipatie nakala za vitabu hivi viwili leo hii ili uweze kujifunza mengi zaidi.
Gharama ya vitabu vyote viwili ni elfu 20. Na vitabu vyote vipo katika mfumo wa nakala tete.
Ngoja nikwambie kitu. Kupata vitabu hivi viwili kwa gharama hiyo ni sawa na kupewa bure kabisa. Maana kilichonadikwa kwenye kurasa za vitabu hivi ni kitu ambacho kitabadili maisha yako kabisa. 
Ukishasoma vitabu mpaka mwisho utagundua gharama uliyotoa kwa ajili ya vitabu hivi Ni sawa na bure kabisa ulilinganisha na kile ulichotoa.
Lipia hiyo elfu 20 kwa namba 0755848391 jina Godius Rweyongeza
Ukishalipia utanitumia ujumbe wenye neno vitabu ili nikutumie vitabu bila kuchelewa.
NIKUHAKIKISHIE KITU KIMOJA: Ukichukua vitabu na ukasoma ila ukaona kama umepoteza pesa yako bure. Hapo hapo utapaswa kunitumie ujumbe au kunipigia simu ili nikurudishie pesa yako bila kuchelewa. Na Cha ajabu zaidi ni kwamba utaendelea kubaki na vitabu, lakini pia pesa yako nitairudisha.
Karibu sana ujipatie nakala hizi mbili muhimu kwako sasa hivi na kwa mafanikio yako ya baadae.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X