Habari njema kwako Rafiki yangu.


Rafiki bila shaka uaendelea vyema kabisa.
Binafsi jioni ya leo nimekuja kwako na habari njema sana. Habari hii ni kwamba unaweza kuwa wakala wa kitabu cha KUTOKA SIFURI MPAKA KILELENI mkoani kwako. Kwa hiyo popote pale ulipo (bara na visiwani) naomba uwasiliane na mimi ili tufanye utaratibu wa wewe kupata nakala za vitabu.

Hii ni habari njema sana ambayo nimeona nikupe jioni ya leo. Kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana nami kwa simu 0755848391

Karibu sana.

Ni mimi anayejali mafanikio yako,
Godius Rweyongeza
0755848391


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X