Hili Ni Kundi Maalumu La Whatsapp Ambalo ulipaswa Kuwa Umejiunga Sasa Hivi


Rafiki yangu hongera sana kwa siku hii ya kipeke sana. Siku ya leo napenda nikwambie juu ya kundi moja la whatsapp ambalo ulipaswa kuwa umejiunga mpaka sasa hivi. Kiukweli ulipaswa kuwa umejiunga na kundi hili hapa mwaka jana, ila kama hukukufanya hivyo, muda sahihi wa kufanya hivyo ni leo hiii.
Kwanza hili  ni zaidi ya kundi la whtasapp. Ndani ya kundi hili hapa utakutana na masomo ya kila siku ambayo yanatolewa na masomo ya kipekee ambayo huwezi kuyapata sehemu nyingine. Masomo haya yamelenga kukuinua wewe na kukufanya utengeneze kesho bora kwa kuanzia hapo hapo ulipo.
Ukiwa kwenye kundi  hili hapa utapata na kitabu kimoja cha Kiswahili ambacho huwa kinatolewa kila mwezi. Kitabu hiki huwezi kukipata sehemu nyingine.
Kwenye kundi hili pia utakutanana na watu ambao wana mtazamo chanya na wenye kiu na kufikia mafanikio makubwa. Yaani ni watu ambao wanataka kupata mafanikio kama vile ambavyo wanataka kupumua.
Utakutana na mijadala ya mara kwa mara na madarasa maalumu ambayo yanatolewa kila mwishoni mwa wiki.
Lakini pia rafiki yangu ukiwa kwenye kundi  hili utakuwa na uwezo wa kuwa karibu na mimi Songambele karibu yako zaidi ya unavyoweza kuwa  nami. Hivyo ukiwa huku unaweza kuniuliza swali na nikakujibu
Kama lilivyo kundi la tofauti. Hata kujiunga ni kwa namna ya tofauti ya kujiunga. Ili kujiuga na kundi hili hapa utapaswa kulipia ada ambayo ni sawa na  24 kwa mwaka mzima. Ambayo ni sawa na shilingi elfu mbili kwa mwezi mmoja.
Je, unaweza kulipia kidogo aumpaka ikamilike. Ndio unaruhusiwa kulipa kidogo ila ada yako inapaswa kuanzia miezi mitano na zaidi. Yaani elfu 10 na kuendelea. Namba ya kulipia ni 0755848391 jina ni Godius Rweyongeza. Ukimaliza kulipia utanitumia ujumbe wa kunijulisha nikuunge kwenye kundi. Ujumbe huu utautuma kwa njia ya whatsapp. Na mimi nitakuunga bila kuchelewa ili uweze kujifunza mambo ya kipekee kutoka kwenye hili kundi.
Karibu sana.
Ni mimi anayejali mafanikio  yako
GODIUS RWEYONGEZA.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X