KITABU: TOFAUTI 50 KATI YA MATAJIRI NA MASIKNI


 

Hivi ni kitu gani ambacho huwa kinawatofautisha matajiri na masikini? Kwa nini matajiri huwa wanaendelea kuwa matajiri na masikini kuendelea kuwa masikini? Kuna kitu gani ambacho matajiri wanakijua ambacho masikini hawajui?

 Kutokana na kuwepo kwa maoni mbalimbali kuhusu matajiri. nimekuandalia kitabu chenye lengo la kukueleza kitu ambacho kinawatofautisha matajiri na kuwafanya wazidi kuwa matajiri huku masikini wazizidi kuwa masikini.

Kwenye kurasa za kitabu hiki unaenda kukutana na tofauti 50 kati ya matajiri na masikni ambazo kiukweli zitakuacha mdomo wazi. Kuna vitu ambavyo umekuwa unafanya kwa siku sasa ukidhani kwamba hayo ndiyo maisha ya kitajiri, ila kwenye kitabu hiki hapa utashangaa kuona kwamba vitu hivyo havipo kabisa kwenye tabia za kitajiri, na kuna vitu umekuwa hufanyi ambavyo matajiri wanafanya kila siku na tayari vitu hivyo ni sehemu ya pili ya maisha yao.

 

Kama unataka kuwa tajiri na kujenga utajiri ambao utadumu kwa muda mrefu, basi hauna budi kuhakikisha kwamba unajifunza misingi ya maisha ya kitajiri na kuitumia kwenye maisha yako.

 

Kuna kikundi ambacho huwa kinanifurahisha jinsi kinavyoshi maisha yao kila siku. Na kikundi hiki ni kikundi cha wanamziki.Mwanamziki hata kama ni mchanga huwa anahakikisha kwamba anaishi kama mwanamziki mwenye jina kubwa. Hivyo, hata kuvaa na kwake

kunakuwa kama mwanamziki mwenye jina kubwa. Na wewe pia, kuanzia leo unaweza kuanza kuishi kama tajiri.

 

Bila kujali kipato chako ni kiasi gani,bila kujali akaunti yako ina kiasi gani na bila kujali unamiliki nini. ukianza kuishi kama matajiri wanavyoishi, itafikia hatua ambapo na wewe utakuwa umefuata misingi yote ya kitajiri.


Yaani, ni rahisi sana. Kama unataka kuwa tajiri basi anza kuishi na kufanya kazi zako kama ambavyo matajiri wanaishi na kufanya kazi zao. Muda si mrefu utaanza kuvutia utajiri kwako na mambo yatakuwa mazuri kama upo tayari kwa ajili ya safari hii ya kitajiri basi kinachofuata ni wewe kufanyia kazi kile ambacho unaenda kusoma kwenye kurasa za kitabu hiki hapa.

NAMNA YA KUPATA KITABU HIKI HAPA

kitabu hiki hapa cha TOFAUTI 50 HAMSINI KATI YA MATAJIRI NA MASIKINI kinapatikana katika mfumo wa nakala laini. na gharama ya kitabu hiki hapa ni 5,000/- Ili kupata kitabu hiki hapa, basi bonyeza HAPA 

Godius Rweyongeza

Utakapokuwa umemaliza kusoma kitabu hiki, usisahau kutoa maoni yako hapa chini kwenye sehemu ya maoni. Unaweza pia kunitumia ujumbe kwa whatsap kupitia namba 0755848391. Au unaweza kunitumia barua pepe kupitia songmbele.smb@gmail.com

Ungana nami kwenye mitandaoya kijamii:

YOUTUBE: BONYEZA HAPA

 

FACEBOOK: BONYEZA HAPA

 

INSTAGRAM: BONYEZA HAPA

 

TWITTER: BONYEZA HAPA


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X