Nisikilize Mimi. Wazo Lako Hilo Sio Bora!


 

Add caption

Ndio! Wala hakuna mtu ambaye amewahi kuwa na wazo bora.

Naona sasa unaanza kusema; “acha uongo kwani wazo la kuanzisha _search engine_ ya Google si lilikuwa bora?

Na Mimi nakwambia halikuwa wazo bora? Wazo huwa linakuwa bora linapofanyiwa kazi.

Facebook halikuwa wazo Bora, Ila lilifanyiwa kazi na kuwa bora.

Coca-Cola halikuwa wazo bora Ila lilifanyiwa kazi na kuwa bora.

Na wewe nakuhakikishia kuwa kama wazo lako hilo hutalifanyia kazi, utaenda nalo kaburini. Hata kama  unaona ni wazo bora.

Lifanyie kazi wazo lako leo hii, ili liwe bora!

Kila la kheri!

Jipatie nakala ya tofauti 50 kati ya matajiri na masikini kwa elfu 5 tu. BONYEZA HAPA

Anza kuishi kitajiri kwa kuzijua tabia za kitajiri

Godius Rweyongeza

Morogoro

Hakikisha unaSUBSCRIBE kwenye channel yangu kwa KUBONYEZA HAPA

0755848391


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X