Mo Dewji Afunguka Mazito Linapokuja Suala La Fedha.


 

Moja kati ya mtandao wa kijamii ambao huwa siutumii sana ni mtandao wa twitter. Na vile sina app ya twitter kwenye simu yangu, naweza kukaa hata mwezi bila kujishughulisha nayo. Ila huwa inatokea siku moja moja tu naukumbuka mtandao huu na hivyo kuingia hasa ili kuposta maandiko yangu.

Sina hakika hata nimewafollow watu wangapi kwenye mtandao huu, ila mmoja wa watu ambao nimemfollow ni Bilionea wa kitanzania Mo Dewji. Sasa leo hii baada ya kuandaa somo langu la youtube niliona pia kiunzi cha somo twitter 

Litazame somo lenyewe HAPA

 

Ile nimefungua tu kitu nilichokiona kikiwa cha kwanza ilikuwa ni post ya Mo Dewji yenye maneno hayo pichani. Mo anasema Kijana: ishu sio kuwa na hela nyingi, ishu ni kuwa na utunzaji wa hela ulizokua nazo!

 

Ujumbe huu kauwasilisha kwa lugha nzuri na lugha yetu haswa sisi vijana. Kwa hiyo kama wewe umekuwa unajiuliza fedha nyingi utazipataje. Kitu kikubwa unachopaswa kufahamu ni wewe kuanza kutumia vyemahizo fedha ulizonazo.

 

 

Nashauri upate kitabu changu cha maajabu ya kuweka akiba ili ujifunze matumizi sahihi ya fedha ulizonazo sasa hivi na jinsi yatakavyokusaidia wewe kupata fedha zaidi. bonyeza hapa sasa kukipata kitabu hiki

BONYEZA HAPA KUPATA KITABU

Nakushukuru sana kwa kuweza kusoma andiko hili mpaka mwisho. Umekuwa nami rafiki yako wa ukweli Godius Rweyongeza

Hakikisha Umesubscribe kwenye Channel yangu ya youtube kwa KUBONYEZA HAPA

Jiunge na mfumo wa kupokea makala maalumu kwa njia ya barua pepe kwa KUBONYEZA HAPA

Jipatie nakala za vitabu vyangu vya kiswahili kwa KUBONYEZA HAPA

Kama ungependa kujifunza kuhusu uandishi wa vitabu kutoka kwangu wasiliana nami kwa 0755848391

 Kupata nakala ngumu ya kitabu cha KUTOKA SIFURI MPAKA KILELENI na kitabu cha JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO basi tuma ujumbe au piga kwa 0755848391

Kutengenezewa blogu yako kitalaamu tuwasiliane kwa 0755848391

kila la kheri

Kunialika kwa ajili ya kutoa mafunzo au semina kwenye kikundi chako, taasisi, kongamano n.k. wasiliana nami kwa email: songambele.smb@gmail.com au simu 0755848391




Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X