UKISIMAMA MBELE YA MUNGU


Umepewa kipaji hivyo unapaswa kukitumia vizuri kiasi kwamba siku ukifa ukaenda mbele ya Mungu usiwe umeacha hata tone la kipaji chako ambacho hakijatumika. Kiasi kwamba uwe na ujasiri wa kumwambia Mungu kuwa ulichonipa chote nimekitumia.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X