Umepewa kipaji hivyo unapaswa kukitumia vizuri kiasi kwamba siku ukifa ukaenda mbele ya Mungu usiwe umeacha hata tone la kipaji chako ambacho hakijatumika. Kiasi kwamba uwe na ujasiri wa kumwambia Mungu kuwa ulichonipa chote nimekitumia.
Umepewa kipaji hivyo unapaswa kukitumia vizuri kiasi kwamba siku ukifa ukaenda mbele ya Mungu usiwe umeacha hata tone la kipaji chako ambacho hakijatumika. Kiasi kwamba uwe na ujasiri wa kumwambia Mungu kuwa ulichonipa chote nimekitumia.