Kwa Nini Nitaendelea Kuandika Kila Siku Bila Kuchoka


Leo nimeona nishirikishe kuhusu uandishi na kwa nini nitaendelea kuandika bila kuchoka.

1  Uandishi Ni kitu ambacho ninafanya kutoka moyoni

2. Uandishi ni kitu ambacho kinanipa ushindi. Hata kama ikitokea jdani ya siku yangu nimeshindwa kufanikisha majukumu yangu ila nitakuwa na uhakika kuwa kwenye suala zima la uandishi nimefanikiwa kwa kuandika kitu fulani.

3. Uandishi unanifanya nifikirie nje ya boksi.

4. Uandishi unanifanya nione cha kuandika kwenye yale ambayo wengine  wanaona hayafai.

5. Maandiko yangu ni msaada mkubwa kwa watu wengine

Umekuwa nami,

GODIUS RWEYONGEZA

Hakikisha Umesubscribe kwenye Channel yangu ya youtube kwa KUBONYEZA HAPA

Jiunge na mfumo wa kupokea makala maalumu kwa njia ya barua pepe kwa KUBONYEZA HAPA

Jipatie nakala za vitabu vyangu vya kiswahili kwa KUBONYEZA HAPA

Kama ungependa kujifunza kuhusu uandishi kutoka kwangu wasiliana nami kwa 0755848391

kila la kheri


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X