MAAJABU YA KUWEKEZA KWENYE HISA, HATIFUNGANI NA VIPANDE


 

Kitabu kilichoeleza mambo makubwa kuhusu uwekezaji kwenye hisa, HATIFUNGANI NA VIPANDE kwa lugha rahisi sana.

Ukisoma kitabu hiki utaelewa vizuri ulichosoma na hivyo kukusaidia kuchukua hatua haraka.

Ubora ni kuwa unaweza kupata kitabu hiki kwa bei ya vocha kabisa.
Yaani, elfu nne tu. Najua utaanza kusema elfu nne siyo bei ya vocha. Nakubaliana na wewe lakini ebu sikia.

Sambamba na kupata kitabu hiki, utaongezewa vitabu vingine vitatu
1. SEKTA 11 ZA KUTENGENEZA MAMILIONI YA FEDHA TANZANIA
2. MAAJABU YA KUWEKA AKIBA na
3. TOFAUTI 50 KATI YA MATAJIRI MASIKINI

Sasa kupata vitabu hivyo vyote kwa hiyo bei, si sawa na kuvipata kwa bei ya vocha eeh?

Ndiooo. Yaani, ni sawa na kupata kila kitabu kwa buku tu.

Sasa cha kufanya, tuma elfu nne kwa
Mpesa 0755848391 au
Airtel money: 0684408755
Jina ni GODIUS RWEYONGEZA

Ukimaliza kurusha fedha tu, nitumie ujumbe ili nikutumie vitabu.

Changamka sasa.

Umekuwa nami rafiki yako wa ukweli Godius Rweyongeza

Hakikisha Umesubscribe kwenye Channel yangu ya youtube kwa KUBONYEZA HAPA

Jiunge na mfumo wa kupokea makala maalumu kwa njia ya barua pepe kwa KUBONYEZA HAPA

Jipatie nakala za vitabu vyangu vya kiswahili kwa KUBONYEZA HAPA

Kama ungependa kujifunza kuhusu uandishi kutoka kwangu wasiliana nami kwa 0755848391

kila la kheri 


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X