Fursa Za Msimu


 

Kuna fursa nyingine huwa zinatokea kwa msimu na kupotea. Ndio maana hata kwenye vyombo vya habari utasikia wanasema, msimu huu wa pasaka, krismasi n.k.

Maana yake hicho ni kipindi ambacho huwa kinaambatana na fursa fulani.
Kuna fursa za msimu wakati wa pasaka, krismasi, mwezi mtukufu wa ramadhani, sikukuu za kiserikali na kidini, matamasha, semina n.k.

Mazao ya shambani pia huwa yana msimu. Kuna msimu ambao huwa yanapatikana kwa bei ya chini. Kuna kipindi huwa yanatikana kwa bei ya juu. Kipindi yanauzwa kwa bei ya chini, ni fursa. Kipindi yanauzwa kwa bei ya juu ni fursa pia.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X