Fedha ni kitu pekee duniani ambacho kinaunganisha watu wote. Hakijali jinsia, dini, rangi Wala kabila. Mwislam na mkiristo wanatofautiana kwa mamho mengu mengi kwenye dini, ila linapokuja suala zima la fedha basi wanakubaliana vizuri.
Kwa hiyo nataka kusema Nini? Nataka kusema Mambo haya matano.
Moja; kama fedha Ingekuwa dini, basi Ingekuwa dini yenye wafuasi wengi hapa duniani.
Pili; kwa kuwa fedha inaunganisha watu wengi na ni muhimu sana kwenye maisha, basi hakikisha unaitafuta na unakuwa nayo.
Umekuwa nami,
GODIUS RWEYONGEZA
Hakikisha Umesubscribe kwenye Channel yangu ya youtube kwa KUBONYEZA HAPA
Jiunge na mfumo wa kupokea makala maalumu kwa njia ya barua pepe kwa KUBONYEZA HAPA
Jipatie nakala za vitabu vyangu vya kiswahili kwa KUBONYEZA HAPA
Kama ungependa kujifunza kuhusu uandishi kutoka kwangu wasiliana nami kwa 0755848391
kila la kheri