PENDA MREJESHO.


 Kwenye makala ya jana nilikutahadharisha kuhusu kuepuka kujiingiza kwenye ugomvi na watu kutokana na wewe kutaka kuwaonesha njia sahihi pale unapoona hawafanyi kitu sahihi. Nilikutahadhirisha hivyo, kwa sababu watu wengi hawapendi kuambiwa ukweli. Hata hivyo hali inapaswa kuwa tofauti kwako.

Soma zaidi: Huu Ni Ugomvi Ambao Unapaswa Kujiepusha Nao

Wewe unapaswa kuwa mtu wa kupenda mrejesho.  Penda mrejesho maana utakuimarisha.

Muda mwingine unaweza kuuomba mrejesho kutoka kwa watu ili uweze kukusaidia kuboresha huduma zako.
Au kuweka juhudi sehemu ambazo zina manufaa zaidi.

Naomba nianze mimi leo. Naomba unipe mrejesho kuhusu makala au vitabu vyangu ambavyo umewahi kusoma.

Naomba pia unipe mrejesho kwa kuniambia vitu ambavyo ungependa kuona nikiviwekea mkazo kwenye kuandika kwangu ila sasa hivi sivifanyi. Au mavifanya kwa viwango vya chini.

Karibu

Umekuwa nami,

GODIUS RWEYONGEZA

Hakikisha Umesubscribe kwenye Channel yangu ya youtube kwa KUBONYEZA HAPA

Jiunge na mfumo wa kupokea makala maalumu kwa njia ya barua pepe kwa KUBONYEZA HAPA

Jipatie nakala za vitabu vyangu vya kiswahili kwa KUBONYEZA HAPA

Kama ungependa kujifunza kuhusu uandishi kutoka kwangu wasiliana nami kwa 0755848391

kila la kheri


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X