TUKUZE AKAUNTI AISEE


!

Siyo za insta wala facebuku!

Ila za benki kuu,

Na siyo kwa kuongeza wafuasi,

Bali kwa kipato hata cha buku,

Kitokanacho na kazi ya mikono yetu,

Tuifanyayo mchana hata usiku,

Tukuze kipato chetu.

Kipato ni chanzo uhuru,

Uhuru wa maisha mazuri,

Na siyo  wa kujionesha bila senti,

Kipato kitakusaidia mpaka wajukuu 

Wao watafurahi hata kama siyo sikukuu

Watafurahi kuwa ulikuwa mpambanaji mkuu

Aliyewaachia urithi mkuu

Tupambane!

Weka moja ya kumi

Ya kila upatayo makumi

Iwe januari au  wa kumi

Weka bila ya kukosa!

Haiozi!

Nikukumbushe tu kuwa kitabu cha MAISHA NI FURSA ZITUMIE ZIKUBEBE sasa kinapatikana tena kwa elfu sita (6,000/-)

Tuma fedha sasa kukipata

Tuma kwa mpesa 0755848391 au 

Airtel money: 0684 408 755

Kote jina ni GODIUS RWEYONGEZA

Godius Rweyongeza

+255755848391

Morogoro-Tz


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X