!
Siyo za insta wala facebuku!
Ila za benki kuu,
Na siyo kwa kuongeza wafuasi,
Bali kwa kipato hata cha buku,
Kitokanacho na kazi ya mikono yetu,
Tuifanyayo mchana hata usiku,
Tukuze kipato chetu.
Kipato ni chanzo uhuru,
Uhuru wa maisha mazuri,
Na siyo wa kujionesha bila senti,
Kipato kitakusaidia mpaka wajukuu
Wao watafurahi hata kama siyo sikukuu
Watafurahi kuwa ulikuwa mpambanaji mkuu
Aliyewaachia urithi mkuu
Tupambane!
Weka moja ya kumi
Ya kila upatayo makumi
Iwe januari au wa kumi
Weka bila ya kukosa!
Haiozi!
Nikukumbushe tu kuwa kitabu cha MAISHA NI FURSA ZITUMIE ZIKUBEBE sasa kinapatikana tena kwa elfu sita (6,000/-)
Tuma fedha sasa kukipata
Tuma kwa mpesa 0755848391 au
Airtel money: 0684 408 755
Kote jina ni GODIUS RWEYONGEZA
Godius Rweyongeza
+255755848391
Morogoro-Tz