Kitu Kinachoashiria Kuwa Hutafika Mbali Kimafanikio


 Kuna vitu vingi ambavyo vinaashiria kuwa hutaweza kufika mbali kiuchumi, hata hivyo kimoja kikubwa sana kati ya vyote ni KUTOJIFUNZA.

Kama  hupati muda wa kujifunza na hasa kwa kusoma vitabu , jua hicho ni kiashiria cha wewe kuja kuanguka siku moja.

Hili litatokea bila kujali unafanya kazi kwa bidii sana au una mtaji mkubwa, kwa sababu asili inaonesha kwamba kitu chochote ambacho hakikui basi kinakufa.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X