Day: April 17, 2022

  • Mipango yangu ya miaka 100 ijayo

    Nilipokuwa mdogo, nilikuwa napenda sana kusikiliza redio. Kila siku SAA kumi na mbili asubuhi ilikuwa lazima  nisikilize DW habari za ulimwengu. Mchana na jioni ilikuwa hivyo hivyo, yaani, ilikuwa kama dozi . Siku moja wakati nasikiliza habari, walitangaza kwamba kufikia mwaka 2050 kuna viumbe watakuwa wamepotea na kutoweka kwenye uso wa dunia. Watu niliokuwa nao walianza…

  • Email List Ni Nini?

    Jana niliandika hapa JINSI YA KUANZISHA BLOG. Kuna watu tayari wamesoma hiyo Makala na kuifanyia kaI. Sasa leo nilikuwa nikiwaambia wafungue email list kupitia MailChimp.com Ila swali lilikuwa email list nini? Kujibu Hilo swali naomba usome hapa chini Email list ni mfumo wa kukusanya mawasiliano ya watu wanaofuatilia kazi zako. Ambapo kila anayesoma na kupenda…

X