Day: April 24, 2022

  • MAAJABU YA KUAMKA ASUBUHI NA MAPEMA

    Benjamin Franklin ambaye anafahamika kama mwananchi wa kwanza Marekani alikwahi kuandika kwamba kulala mapema na kuamka asubuhi na mapema kunamfanya mtu awe na afya njema, tajiri na mwenye busara. Haya maneno aliyaandika zaidi ya miaka 200 iliyopita kwenye moja ya barua aliyokuwa anaandika kwa mwanae. Pengine Franklin angekuwa anarudi leo hii angeshangaa kwa jinsi maneno…

  • Kama unafikiri elimu Ni ghali, jaribu ujinga

    Siku Kama mbili zilizopita hivi, nilikuwa naongea na mama mmoja ambaye anamiliki salooon kubwa mkoani Mwanza. Katika kuongea aliniambia kitu ambacho nilikidaka vizuri. Alisema, Mimi nimetumia gharama kubwa kujifunza mambo ya saloon. Gharama ambayo nimewekeza Ni kubwa sana. Hiki kitu kilikumbusha Ile stori ya kwamba Kama unafikiri elimu Ni ghali jaribu ujinga. Na kitu ambacho…

  • Kiwango Cha Elimu Unachopaswa Kuwa nacho ili uandike kitabu

    Leo nimepokea ujumbe wa MTU anateniuliza, kiwango gani Cha Elimu unapaswa kuwa nacho ili uandike kitabu? Swali hili limenivutia sana kiasi kwamba nimeona niandike Makala na kuileta kwako. Kwenye ulimwengu wa uandishi kuna waandishi wa kila aina. Kuna waandishi wenye PHD,Kuna waandishi wenye shahada mojaKuna waandishi ambao wameishia darasa la saba n.k. Kwa hiyo, hakuna…

X