Vitu viwili ambavyo huwafanya watu washindwe kupiga hatuaRafiki yangu, bila shaka unaendelea vyema.


Rafiki yangu, bila shaka unaendelea vyema. Mimi hapa nilipo, niko sawa kabisa. Kuna vitu viwili kwenye maisha ambavyo huwafanya watu washindwe kufanikisha malengo na ndoto zao.

Lengo la mimi kukwambia vitu hivi ni kuwa wewe unapaswa kuvifahamu hivi vitu viwili na kuviepuka, la sivyo utaishi maisha ya kawaida Kama ambavyo watu wengine wanaishi.

Vitu hivyo viwili Ni

Moja KUTOKUWA NA MALENGO AU NDOTO KUBWA
Wengi wanaamka kila siku na kwenda kufanya kazi. Ila hawana malengo na ndoto Kubwa zinazowasukuma. Hiki Ni kitu kibaya, maana bila malengo na ndoto Kubwa ambazo zinakusukuma, utakosa motisha ya kufanya makubwa. Na hivyo, hutaweza kufika mbali kwenye maisha. Rafiki, yangu, Kama hauna malengo, Basi Leo hii, kaa chini na uweke malengo ambayo utaanza kuyafanyia kazi.

Kwenye maisha yako, rafiki yangu, hakikisha Mara zote una malengo au ndoto kubwa unazozifanyia kazi. Malengo ni ramani ya kule unapotaka kuelekea. Kwenye maisha hakuna ambaye huwa anapanga kushindwa , Bali watu hushindwa kupanga. Nakuomba kitu kimoja tu rafiki yangu, usishindwe kupanga

Pili, ni KUTOKUWA TAYARI KULIPA GHARAMA
Siku hizi watu wengi wanapenda Ssna njia za mkato ili kupata mafanikio ya haraka . Rafiki yangu, njia ya mafanikio inakuhitaji ulipe gharama.
Na zipo gharama sita ambazo utapaswa kulipa kama ambavyo nimezianisha kwenye kitabu changu Cha jinsi ya kufikia ndoto zako.
Kitu kikubwa unachohitaji kujua ni gharama kiasi gani upo tayari kulipa ili kufikia mafanikio unayotaka. Kama hauko tayari kulipa gharama ujur hutaweza kufikia ndoto na malengo makubwa.

Unaweza kupata Audiobook ya kitabu Cha Jinsi ya kufikia NDOTO ZAKO leo hii kwa kulipia 20,000/- tu. Nitakutumia Audiobook hii pamoja na Audiobook nyingine mbili bure kabisa
Audiobook nyingine mbili nitakazotumia bure Ni
1. NGUVU YA VITU VIDOGO KUELEKEA MAFANIKIO MAKUBWA
3. Maisha Ni FURSA: ZITUMIE ZIKUBEBE

Rafiki yangu, lipia Audiobook moja upate mbili bure

Vitu viwili ambavyo huwafanya watu washindwe kupiga hatua

Rafiki yangu, bila shaka unaendelea vyema. Mimi hapa nilipo, niko sawa kabisa. Kuna vitu viwili kwenye maisha ambavyo huwafanya watu washindwe kufanikisha malengo na ndoto zao.

Lengo la mimi kukwambia vitu hivi ni kuwa wewe unapaswa kuvifahamu hivi vitu viwili na kuviepuka, la sivyo utaishi maisha ya kawaida Kama ambavyo watu wengine wanaishi.

Vitu hivyo viwili Ni

Moja KUTOKUWA NA MALENGO AU NDOTO KUBWA
Wengi wanaamka kila siku na kwenda kufanya kazi. Ila hawana malengo na ndoto Kubwa zinazowasukuma. Hiki Ni kitu kibaya, maana bila malengo na ndoto Kubwa ambazo zinakusukuma, utakosa motisha ya kufanya makubwa. Na hivyo, hutaweza kufika mbali kwenye maisha. Rafiki, yangu, Kama hauna malengo, Basi Leo hii, kaa chini na uweke malengo ambayo utaanza kuyafanyia kazi.

Kwenye maisha yako, rafiki yangu, hakikisha Mara zote una malengo au ndoto kubwa unazozifanyia kazi. Malengo ni ramani ya kule unapotaka kuelekea. Kwenye maisha hakuna ambaye huwa anapanga kushindwa , Bali watu hushindwa kupanga. Nakuomba kitu kimoja tu rafiki yangu, usishindwe kupanga

Pili, ni KUTOKUWA TAYARI KULIPA GHARAMA
Siku hizi watu wengi wanapenda Ssna njia za mkato ili kupata mafanikio ya haraka . Rafiki yangu, njia ya mafanikio inakuhitaji ulipe gharama.
Na zipo gharama sita ambazo utapaswa kulipa kama ambavyo nimezianisha kwenye kitabu changu Cha jinsi ya kufikia ndoto zako.
Kitu kikubwa unachohitaji kujua ni gharama kiasi gani upo tayari kulipa ili kufikia mafanikio unayotaka. Kama hauko tayari kulipa gharama ujur hutaweza kufikia ndoto na malengo makubwa.

Unaweza kupata Audiobook ya kitabu Cha Jinsi ya kufikia NDOTO ZAKO leo hii kwa kulipia 20,000/- tu. Nitakutumia Audiobook hii pamoja na Audiobook nyingine mbili bure kabisa
Audiobook nyingine mbili nitakazotumia bure Ni

  1. NGUVU YA VITU VIDOGO KUELEKEA MAFANIKIO MAKUBWA
  2. Maisha Ni FURSA: ZITUMIE ZIKUBEBE

Rafiki yangu, lipia Audiobook moja upate mbili bure


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X