Gharama ya uandishi wa kitabu ni uwekezaji. Hii hapa ni sababu Kwa Nini?


Gharama unayotumia mwanzoni kwenye kuandika Kitabu Chako, ni uwekezaji.

Kitabu kikishakamlika.
Kitaendelea kuwepo maisha yako yote na hata baada ya wewe kuaga Dunia.

Uandishi wa kitabu ni kazi unayofanya mara Moja ila unalipwa maisha yako yote.

Hata baada ya kufa, kitabu kinakutengenezea faida ukiwa duniani na hata ukiwa ahera.

Godius Rweyongeza 

+255755848391


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X