Kitabu Siyo Ubwabwa


Mwanzoni utatumia gharama kubwa
. Kuandika
. Kuhariri
. Kupata ISBN na Barcode
. Kuchapa

Huu ni uwekezaji, Kwa sababu kitabu siyo kama ubwabwa kwamba kikiiva unakula unananawa na kusubiri kuandaa kingine.

Kitabu kikiiva, kimeiva, watu wanaendelea kula maarifa maisha yote, hata baada ya wewe kufa.

www.songambele.co.tz


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X