NAMNA YA KUKUZA BIASHARA YAKO


NAMNA YA KUKUZA BIASHARA YAKO
-kitu kimojawapo kinachoweza kukusaidia KUKUZA BIASHARA YAKO kwa haraka zaidi

*Watu wengi wamedumaa kwenye biashara kwa kuangalia lengo Moja tu la mauzo.Hatakama utafanya mauzo sana utajikuta unaanza kupoteza

1) HUMAN RESOURCES
-Biashara pamoja na BIDHAA na HUDUMA unayotoa kitu Cha MUHIMU pia katika biashara ni watu na ni MUHIMU sana kuchagua watu sahihi katika biashara
Watu wanaweza kuharibu JINA la biashara na ubora wa BIDHAA

👉.Hata wewe Kuna sehemu unaweza ukaenda sio sababu ya HUDUMA unayoipata pale sana ni sababu ya mtu ambae anatoa hiyo HUDUMA mahali pale.

👉Kwa hivyo ni MUHIMU sana kuchagua watu sahihi wa kufanya kitu ambacho unataka kukifanya kama biashara
-Ni Bora utumie gharama nzuri na kubwa kupata mtu sahihi kwenye kufanya biashara yako kuliko KUTAFUTA cheap labour ambae ataharibu biashara na pengine ataharibu uhusiano ulionao na wateja.

Makala hii imeandaliwa nami,
Faith Mark Mrema
0742 825 286
Morogoro_Tanzania


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X