Usitafute ukamilifu mwanzoni mwa kuandika Kitabu Chako, tafuta kuanza


Lakini ninachoandika mbona siyo kizuri, anajiuliza mmoja wa waandishi. Ukweli ni kuwa wewe mwanzoni Anza kuandika TU, andika hata kama mwanzoni huoni huo uzuri. Baadaye utaboresha


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X