Kitu Muhimu Ambacho Kila mwandishi anapaswa kuwa anafanya


moja ya kazi muhimu sana ambayo kama mwandishi unapaswa kuhakikisha kwamba umeifanya ni kuandika.

hauwi mwandishi kwa kujiita tu mwandishi, bali unakuwa mwandishi kwa kuandika. Mwandishi anaandika.

Hivyo wito wangu mkubwa kwako wewe mwandishi ni kwamba ukae chini na uandike kitabu chako au makala ambayo unafikiria kuandika bila ya kurudi nyuma.

Naomba unisikilize vizuri.
Kwa kawaida
Daktari anatibu
Mwalimu anafundisha
Mwandishi pia anapaswa kuandika

kaa chini na uandike kitabu chako kuanzia leo.

Kupata mwongozo wenye hatua kwa hatua kuhusu uandishi wa vitabu, tuwasiliane kwa namba ya simu 0755848391

tuwasiliane sasa uweze kupata mwongozo huu


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X