Mambo 16 unayopaswa kuanza kuyafanyia kazi kuanzia Leo hii


1. Weka akili Yako pale unapotaka kuwa. Fanya kile unachojiita.
Mimi ni mwalimu, muda mwingi fundisha. Mwekezaji, wekeza.
Mfanyabiashara,

2. Ambatana na watu ambao ungependa kujifunza kwao. Kama Hawa watu hawako karibu Yako, Toka eneo Hilo na uende sehemu nyingine.

3. Kuwa eneo ambalo linasapoti juhudi zako, kwa rasilimali, mamenta n.k.

4. Kujitoa. Unatumia kila fursa unayoipata ili kufanikiwa. Hiki ndiyo kitu pekee unachopaswa kuwa unafikiria.

5. Fanya hata kama mambo ni magumu. Wengi hufanya mambo yakiwa rahisi, ila yakiwa magumu hukata tamaa.

6. Usihame kwenye kufanya kazi na zako. Chagua kitu kimoja Cha kupambana nacho na kipambanie kwelikweli.

7. Mambo yakiwa rahisi Fanya, mambo yakiwa magumu Fanya.

8. Unapokutana na magumu, Dunia inakuwa inakupima. Usikate tamaa.

9. Jua unachotakiwa kufanya, kifanye kwa nguvu zako zote.

10. Haijalishi jambo linachukua muda mwingi kiasi Gani. Lifanye.

10. Una vitu vingi vya kufanya. Kama ni mwandishi una maktaba nzima ndani Yako.

11. Uwe na eneo la kufanyia kazi zako. Na eneo hili liwe kama madhabahu Yako.

12. Usihangaike na kuingia mtandaoni muda ambao unapaswa kuwa kazini.

13. Matamanio MAKUBWA, na yapambanie muda wote. Tuwe na lengo mara mbili.

14. Usiwe na mpango mbadala.

15. Usiahirishe mambo. Hakikisha ulichopanga kufanya, unakifanya kweli.

16. Kile unachokipambania,

17. Wengi wanaoajiriwa hawataki kazi, japo mwanzoni wanaonekana wanapambania kazi. Wakishapata kazi, wanazembea. Hawazingatii mambo n.k.

Imeandikwa na Godius Rweyongeza

Kupata vitabu vya mafanikio. Tumia namna ya simu 0655848392


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X