Raha ya kuandika Kitabu ni pale unapokimaliza. Unajua Kwa Nini?


Kuanza ni kazi kubwa. Wengi Huwa hawaanzi. 

Ila kuendelea ulichoanza ni kazi kubwa zaidi, Wengi ambao hujitahidi kuanza, huishia njiani.

Usiwe mmoja wao linapokuja suala la kuandika Kitabu. 

Anza kuandika Kitabu na kimalize.

Karibu sana SONGAMBELE CONSULTANTS

✅ Tunakuandikia kitabu chako (ghostwriting)  

✅ Tunatoa mwongozo wa kuandika kitabu chako  

✅ Kuhariri vitabu  

✅ Tunatoa usimamizi wa karibu kwenye uandishi wa kitabu chako  

✅ Tuna vitabu bora vyenye hatua muhimu za kufuata katika uandishi  

Mawasiliano:

Simu/WhatsApp: +255 684 408 755  au +255 655 848 392 au +255 678 848 396

Email: jifunzeuandishi@gmail.com  

Eneo: Sabasaba, Tenki Bovu


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X