Ushawahi kuona kitabu, halafu ukasema na Mimi ningeweza kuandika hicho?


Ushawahi kuona kitabu, halafu ukasema na Mimi ningeweza kuandika hicho?

Suala kubwa kubwa siyo kwamba na wewe unaweza kuandika hicho .

Suala kubwa hapa ni kwamba unajua na HUANDIKI.

Unadhani Kuna watu wangapi wanajua vitu na hawafanyi?

Kuna wanaohua kuwa ulevi ni NOMA, ila Bado wanalewa TU. Wengine uvitajiq wa sigara ni mbaya Kwa afya, ila Bado wanavuta TU.

Kumbe kujua kwamba unaweza kuandika Kitabu Fulani bila kukiandika, hakusaidii chochote.

Kikubwa JUA-Fanyia kazi-SONGAMBELE

Kama umenielewa umenielewa tu


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X