Anza na kile ulichonacho


Tuanze na kile tulichonacho. Tufanye kinachowezekana sasa hivi kabla ya kuja kufanya yasiyowezekana.

Rafiki yangu mpendwa salaam, umekuwa unajiuliza ni kwa namna gani unaweza kufanya makubwa kwenye maisha yako. Njia bora ya wewe kufanya makibwa ni kwa wewe kuanza na yale ambayo unaweza sas hivi. Kufanya kinachowezekana sasa hivi kabla ya kuja kufanya yasiyowezekana. Wengi wanafikiri kufanya makubwa kabla hawajaanza kufanya madogo ambayo wanaweza sasa hivi. Ukweli ni kuwa, unaweza kufanya makubwa, ila tu unapaswa kuanza na madogo kwanza, kabla ya kuja kufanya makubwa kwenye maisha yako.

Anza leo hii kwa kufanya madogo ambayo unaweza sasa hivi, kisha baadaye nakuhakikishia kuwa utaweza kufanya makubwa.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X