Kwa nini tunapaswa kuwafundisha watoto fikra za kijasiriamali tokea wakiwa shuleni


Watoto wetu wanapaswa kufundishwa fikra za kijasiamali tokea wakiwa shuleni. Haijalishi kama watakuwa wajasiriamali na wafanyabiashara au hawatakuwa, lakini bado tunapaswa kuwafundisha wawe na fikra hizi maana zitawabeba sana kwenye maisha yao.

Kwenye video hii nimeeleza kwa undani na kwa kina kuhusiana na hii dhana na namna ambavyo tunaweza kuanza kuitumia mara moja.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X