USIPOZIBEBA FURSA, HAZITAKUBEBA


 

Moja ya shida ya watu ambao huwa wanashindwa kutumia fursa ni kujuta mbeleni.

Ndio baadaye unakuja kusikia mtu anasema kuwa;
๐Ÿ‘‰ Mtu fulani tulisoma wote.
๐Ÿ‘‰Mtu fulani tulianza kazi kwa pamoja.
๐Ÿ‘‰Maeneo fulani viwanja vilikuwa   vinauzwa kwa bei ndogo ila sasa havishikiki.
Ne  mengine mengi

Hiki ni kiashiria kimojawapo kuwa mhusika hakutumia fursa zilizojitokeza maishani mwake vizuri. Usipozitumia fursa vizuri, ni ukweli kuwa haziwezi kukubeba.

Pata kitabu cha MAISHA NI FURSA: ZITUMIE ZIKUBEBE leo kwa elfu sita (6,000/-) tu leo.
Nakala hii imesheheni mambo mengi mazuri kuhusu fursa.
๐Ÿ‘‰kimeeleza maana ya fursa: kwenye kitabu utakutana na zaidi ya maana kumi za fursa.
๐Ÿ‘‰ utajua jinsi ya kuziona fursa.
๐Ÿ‘‰ Utajua kwa nini watu hawazioni fursa hata japo mimi ninasema fursa zipo za kutosha
๐Ÿ‘‰ Tutajibu swali la kwa nini maisha ni magumu japo fursa zipo nyingi.
๐Ÿ‘‰ Tutaona maeneo zilipojificha fursa
๐Ÿ‘‰Tutaona fursa zilizohama kutoka kizazi kimoja kwenda kingine. Hizi ni fursa ambazo zilikuwepo miaka mingi sana iliyopita na bado zipo sasa hivi; yaani alizitumia babu yako mpaka wewe kitukuu
๐Ÿ‘‰  Tutaona jinsi ya kuhamisha fursa kutoka eneo moja kwenda jingine
๐Ÿ‘‰ Jinsi ya kugundua fursa mpya
๐Ÿ‘‰ Vigezo vya kuitambua fursa ya kweli na mengineyo mengi.

Hakikisha unapata nakala yako leo kwa elfu sita (6,000/-) tu.  

Lipia kwa:

MPESA 0755848391

Airtel money: 0684 408 755

 Kote jina ni GODIUS RWEYONGEZA.

NB. Kitabu hiki ni soft copy.

Ni mimi

GODIUS RWEYONGEZA

+255755848391

MOROGORO-TZ


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X