Kitu Hiki kitatokea Pale Utakaposema Haiwezekani


Hivi umewahi kufanya jambo na kuona haiwezekani. Au umewahi kufanya jambo na kuishia njiani? Shida ilikuwa nini?

Inawezekana ulisema haiwezekani na ukaamua kuishia njiani. Ukweli ni kwamba hakuna kitu ambacho hakiwezekani ukiamua. Kila kitu kinawezekana.

Ila pale unaposema kwamba haiwezekani unakuwa unajiwekea kizuizi cha kusongambele na kufikia viwango vikubwa.

Sasa kinachotokea ni kwamba utakwama na kutulia. Wakati unaendelea na mkwamo wako utashangaa watu wasiojiwekea vikwazo akilini wanatimiza kile ulichosema  hakiwezekani. Kwa hiyo nipende tu kusema kwamba hakuna kisichowezekana. Kila kitu kinawezekana kama utaamua. Kama bado hujajiunga na mfumo wetu wa kutokea Makala maalum kwa watu maalum BONYEZA HAPA

Umekuwa nami,
Godius Rweyongeza
0755848391
KUPATA KITABU CHA KUTOKA SIFURI MPAKA KILELENI BONYEZA HAPA

HUDUMA NYINGINE UNAZOWEZA KUPATA KWANGU HIZI HAPA
KUPATA MAKALA MAALUM KWA WATU MAALUM KILA WIKI BONYEZA HAPA


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X