Bei kisiwe kigezo cha wewe kuuza


Moja ya dhana ambayo watu huwa wanatumia kwenye kuuza ni kuuza kwa bei ya chini. rafiki yangu, nataka kukwambia kitu kimoja muhimu sana, kwamba mara zote usishindane kwa bei. Maana kadiri unavyopunguza bei, mara zote utakuta kwamba kuna mtu anawezakupunguza bei zaidi yako.

Hivyo, bei kisiwe ndiyo kigezo pekee cha wewe kuuza.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X