MAMBO MUHIMU KUHUSU KUWEKA AKIBA



Kwenye somo la leo ninakueleza kwa undani mambo ya msingi na ya muhimu sana ambayo unahitaji kuzingatia linapokuja suala zima la kuweka akiba.

Kuna makosa ambayo umekuwa unayafanya, lakini habari njema ni kwamba haya makosa unaweza kuyaepuka.

Haya yote yameelzwa kwa kina kwenye somo la leo. Hakikisha umelfuatilia somo hilimpaka mwisho.

Kujipatia nakala za vitabu ambavyo nimezungumzia kwenye somo la leo, basi wasiliana nami kwa namba ya simu 0755 848 391 sasa


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X