Hii ndiyo sifa kubwa ya kitabu  unachopaswa kuandika


Rafiki yangu, sifa moja kubwa ya kitabu unachopaswa kuandika ni kwamba kitabu chako kinapaswa kujikita kwenye kujadili mada moja kwa undani zaidi. Mtu anapochukua kitabu, tunategemea kwamba anapaswa kupata maarifa ya kina kuhusiana na kile ambacho umeandika.

Si jambo zuri kuandika kitabu cha kila kitu.

Ndiyo maana huwa tunaandika kitabu cha pili au cha tatu na kuendelea.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X