Notice: Function _load_textdomain_just_in_time was called incorrectly. Translation loading for the uncanny-automator domain was triggered too early. This is usually an indicator for some code in the plugin or theme running too early. Translations should be loaded at the init action or later. Please see Debugging in WordPress for more information. (This message was added in version 6.7.0.) in /home/songambele/public_html/wp-includes/functions.php on line 6121

Notice: Function _load_textdomain_just_in_time was called incorrectly. Translation loading for the health-check domain was triggered too early. This is usually an indicator for some code in the plugin or theme running too early. Translations should be loaded at the init action or later. Please see Debugging in WordPress for more information. (This message was added in version 6.7.0.) in /home/songambele/public_html/wp-includes/functions.php on line 6121
USHAURI: Jinsi Ya Kuanzisha Biashara Ukiwa Umeajiriwa Bila Bosi Wako Kujua - SONGA MBELE

USHAURI: Jinsi Ya Kuanzisha Biashara Ukiwa Umeajiriwa Bila Bosi Wako Kujua


 Ok vizuri.

Inawezekana kuanzisha biashara ukiwa umeajiriwa. 

Kwanza, unapaswa kujua aina ya biashara ambayo ungepsnda kuanzisha.

Pili, unapaswa kujua na ratiba yako ya kazi. Hii itakusaidia kupangilia muda wa mwajiriwa wako na muda wa kufanya biashara yako. 

Tatu, unapaswa kuhakikisha kwamba unafanya kazi zako kuajiriwa kwa nguvu na weredi mkubwa. Usifanye kazi ya ajira hovyo, muda wa kazi ya ajira utumie kuifanya.

Nne, fahamu unapoamua kuanzisha biashara ukiwa umeajiriwa unapaswa kujitoa sana. Inahitaji ujitoe na upate muda wa kufanya kazi yako ya ajira na biashara yako. Nyakati nyingine utakuwa umechoka ila UTAPASWA kujilazimiaha. Utajikosesha raha na starehe nyingi ulizokuwa unapata. Hayo yote kwa ajili ya biashara yako.

Muhimu sana katika kuifanya biashara yako isijulikane ni kutoanzisha biashara ambayo utakuwa unaifanyia ofisini kwa bosi wako; kama kuuza vitu kwa wafanyakazi wenzako. Ikiwezekana, hata wafanyakazi wenzako wasijue kuwa umeanzisha biashara maana wanaweza kuwa watu wa kwanza kukuchongea. Unaweza kuanzisha biashara mbali kidogo na ajira yako ilipo, ila unapoweza kufika kwa haraka.

Kila la kheri


One response to “USHAURI: Jinsi Ya Kuanzisha Biashara Ukiwa Umeajiriwa Bila Bosi Wako Kujua”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X