Kama Bado Hujapata Nafasi Ya Kushiriki Darasa La Uandishi Kwa Mwaka 2022 Chukua Hatua Sasa Hivi


Tunategemea kuwa na darasa rasmi la uandishi kwa mwaka 2022. Darasa hili la kipekee litaanza rasmi tarehe 16 machi.

Kama ulikuwa huna habari basi taarifa rasmi  ilitolewa HAPA HAPA na BAADAYE ikatolewa hapa.

Idadi ya watu ambao watashiriki kwenye darasa hili hapa la kipekee Ni kumi tu, na nafasi zinazidi kupungua kila kukicha. Hivyo, kama hujachukua hatua ya kujiunga, fanya hivyo leo.

Kuna kitu gani cha kipekee kwenye hii semina?

Kozi hii ni ya waandishi, siyo wale wanaojiita waandishi, ila waandishi wanaoandika, hicho ndiyo kitu Kikubwa tunachopambana nacho kwenye hii kozi. Hata kama hujawahi kuandika,

Mpaka kozi inafikia mwishoni utakuwa tayari umeshaandika, siyo mara moja, siyo mara mbili, ila utakuwa umeandika kiasi cha kuweza kumaliza kitabu chako.

Hiki ni kitu siyo tu ambacho nakwambia kwa nadharia, ila ni kitu ambacho watu wengine wamekifanyia kazi kwa mafanikio makubwa, Nina uhakika kama upo siriazi pia utaweza kukifanyia kazi.

Sasa kama kuna watu wametumia mbinu hizi ninazofundisha kuandika na kukamilisha vitabu vyao, unadhani wewe utashindwa?

Kozi imeandaliwa katika mfumo wa kukufanya uandike na ukamilishe lengo lako ndani ya muda wa kozi. Ukijiunga na kozi tutawasiliana na kuweka mpango. Utaweza kuandika hata kama hujawahi kuandika.

Hivyo kwa mara ya kwanza baada ya kuhudhuria kozi hii utakuwa mwandishi. Yale masuala ya kujiita mwandishi mtandaoni wakati hata hujawahi kuandika kwishney.

Kozi hii ina mwongozo uliokamilika na ina kila kitu unachohitaji kujua kuhusu uandishi.

Mbali na hilo kwenye kozi hii:

👉Utaandika kitabu chako na kitakamilika ndani ya siku 30.

👉 Nitakusimamia na kusoma kazi zako unazoandika kila siku na kukusaidia kuziboresha.

👉 Nitakufungulia blogu ya bure.

👉 Utajifunza mengi kutokana na yale wanayoandika wenzako na maoni nitakayokuwa natoa kuhusu kazi za wenzako.

👉 Utapata kitabu Cha JINSI YA KUWA MWANDISHI MBOBEVU NDANI YA SIKU 30 bure.

👉 Utapata jarida lenye hatua 15 za kufuata ili kuandika magazetini.

👉 Utapata mafunzo ya audio zaidi ya 10. Yakiwemo mahojiano na waandishi wakubwa hapa nchini.

👉 Utaungana na waandishi wengine wanaoandika na kujifunza mengi kutoka kwao.

Nafasi kwenye kozi hii ni 10 tu. Hivyo, kama unataka kuhudhuria kozi hii, sharti uwahi kujihakikishia nafasi yako kabla hazijaisha.

Na gharama za kuhudhuria darasa hili la kipekee itakuwa ni laki mbili (200,000/) tu. Jihakikishie nafasi yako Sasa hivi kwa kuwasiliana na 0755848391 kabla nafasi hazijaisha.

NAKUKUMBUSHA TU: kozi hii ni ya siku 30 tu, na huna kitu chochote cha kupoteza. Endapo utajiunga na kozi hii ila katikati mwa kozi au mwishoni ukaona kuwa haifai, utanipigia simu nami nitakurejeshea fedha yako bila kukuuliza maswali yoyote.

Hivyo, jisajili sasa hivi kwa kuwasiliana na 0755848391.

Nafasi zimebaki chache.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X