Kitu Kimoja Muhimu Usichokijua Kuhusu Darasa Rasmi La Uandishi Mwaka 2022


Kuanzia tarehe 16 machi, 2022 tutakuwa na darasa rasmi la uandishi. Darasa hili maalumu litahusisha watu wachache tu. Watu 10.

Ukihudhuria darasa hili:

👉Utaandika kitabu chako na kitakamilika ndani ya siku 30.

👉 Nitakusimamia na kusoma kazi zako unazoandika kila siku na kukusaidia kuziboresha.

👉 Nitakufungulia blogu ya bure.

👉 Utajifunza mengi kutokana na yale wanayoandika wenzako na maoni nitakayokuwa natoa kuhusu kazi za wenzako.

👉 Utapata kitabu Cha JINSI YA KUWA MWANDISHI MBOBEVU NDANI YA SIKU 30 bure.

👉 Utapata jarida lenye hatua 15 za kufuata ili kuandika magazetini.

👉 Utapata mafunzo ya audio zaidi ya 10. Yakiwemo mahojiano na waandishi wakubwa hapa nchini.

👉 Utaungana na waandishi wengine wanaoandika na kujifunza mengi kutoka kwao.

Pamoja na hayo leo nataka nikwambie kitu kimoja tu usichokijua kuhusu darasa hili.

Kitu hiki ni kwamba ukihudhuria darasa hili huna chochote cha kupoteza.

Gharama ya kuhudhuria darasa hili la kipekee ni laki mbili (200,000/-)
Ila huna chochote cha kupoteza

Huna cha kupoteza.

Wakati wa darasa au baada ya darasa kuisha, ukiona kwamba kile ulichopata hakiendani na thamani ya fedha uliyotoa. Utaniambia na mimi nitakurudishia fedha yako bila kukuuliza swali lolote.

Yaani, sentensi hiyo ulivyoisoma ndivyo ilivyo leo na ndivyo itakuwa tarehe 17.Aprili siku moja baada ya kumaliza darasa letu.

Huna chochote cha kupoteza.

Unaweza kuuliza kama ni hivyo, sasa si bora watu wahudhurie bure tu kwenye hili darasa? Itakuwaje kama watu wote watadai fedha zao baada ya darasa.

Ninachotaka ufahamu ni kwamba darasa hili ni la kipekee sana. Nina uhakika na kile unachoenda kujifunza. Nimealiandaa likaandalika, nimelipika likapikika. Kwa hiyo mtu yeyote ambaye atahudhuria darasa hili atapata thamani mara 10 zaidi ya atakavyolipia.

  Thamani ya darasa hili ni kubwa Sana. Ndio maana kwa uhakika kabisa nasema kwamba endapo mtu atakuwa hajaridhika  na hii thamani ambayo ni mara kumi zaidi basi nitamrejeshea fedha yake. Darasa limepikwa, likapikika!

Kama kweli upo siriazi kujifunza kuhusu uandishi. Basi fanya hivi.
JIUNGE na darasa hili leo hii.

Nakuhakikishia kuwa huu unaenda kuwa uamuzi wako bora kuwahi kutokea.

Fanya malipo sasa hivi kwa 0755848391 jina ni GODIUS RWEYONGEZA ili ujihakikishie nafasi yako.

Wako,
Godius Rweyongeza
0755848391
Morogoro-Tz


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X