Mara kwa Mara nwatu wamekuwa wakiniuliza mi kwa jinsi gani wanaweza kupakua vitabu mtandaoni.
Wengine huwa wananiomba niwattumie vitabu fulanifulani.
Binafsi huwa sipendi kumtumia mtu kitabu wakati najua anaweza kukipata mwenyewe. Ni mpaka pale ninapokuwa Nina uhakika kuwa huyu mtu hawezi kukipata kitabu fulani ndio namtumia.
Kwa leo sasa ningependa wewe ujue namna unavyoweza kupakua vitabu bure mtandaoni.
Kesho tutakuwa na sehemu ya piili inayoonesha namna ya kupakua vitabu mtandaoni