Naomba ushauri Nifanyeje?


Bila shaka wamewahi kutokea watu wa kukuomba ushauri maishani mwako.

Na pengine wewe ulitoa huo, ushauri. Ila sasa una hakika kuwa wewe ulikuwa hauhitaji huo ushauri?

Kama huwa inatokea kuwa unatoa ushauri kwa watu ambao wewe mwenyewe unauhitaji. Hakikisha unaanza kuutumia mwenyewe.

Ukimshauri mtu kuweka AKIBA, wewe mwenyewe weka akiba.
Ukimshauri mtu kufanya mazoezi wewe mwenyewe fanya mazoezi

Ukimshauri mtu kula vizuri, kama profeda jay alivyomshauri ferooz kwenye wimbo wa starehe, hakikisha na wewe unafanya hivyo.

Ni hivyo tu?

Umekuwa nami
Godius Rweyongeza
0755848391


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X