Ni Nani Huyu Anaenda Kukupigia Push-Up?


Hakuna mtu ambaye anaenda kupambana kwa ajili yako. Kufanya kazi ambazo unapaswa kufanya, kufikia mafanikio ambayo unataka wewe.

Hakuna mtu wa aina hiyo.

Wewe mwenyewe ndiye unapaswa kupambana kwa ajili yako, mwenyewe.

Jua malengo ambayo unapaswa kuyafanyia kazi.
Kisha yafanyie kazi bila ya kuchoka.

Maisha haya ni mafupi na siyo ya kupoteza.

Yatumie vizuri kupambana kwa ajili ya ndoto zako.

Ni jana tu niliokupa ofa ya kupata vitabu vyangu viwili kwa bei ya ofa. Vitabu vyenyewe ni kitabu cha
MAISHA NI FURSA: ZITUMIE ZIKUBEBE pamoja na kitabu cha
AKILI YA DIAMOND: Mambo 50 Ya Kujifunza Kutoka Kwa Diamond Platnumz Kuhusu Kipaji, Ubunifu Na Mafanikio.

Gharama ya vitabu hivi vyote viwili Ni zaidi ya 25,000. Ila leo nataka nikupe ebooks zake kwa 8,000/- tu.

Upo tayari? Lipia sasa hivi nikutumie ebooks hizi za kipekee sasa.

Kumbuka: Ebook hizi utazipata kwa 8,000/- tu badala ya 25,000+

Ni mimi rafiki yako
Godius Rweyongeza
0755848391
Morogoro-Tz


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X