Notice: Function _load_textdomain_just_in_time was called incorrectly. Translation loading for the uncanny-automator domain was triggered too early. This is usually an indicator for some code in the plugin or theme running too early. Translations should be loaded at the init action or later. Please see Debugging in WordPress for more information. (This message was added in version 6.7.0.) in /home/songambele/public_html/wp-includes/functions.php on line 6121

Notice: Function _load_textdomain_just_in_time was called incorrectly. Translation loading for the health-check domain was triggered too early. This is usually an indicator for some code in the plugin or theme running too early. Translations should be loaded at the init action or later. Please see Debugging in WordPress for more information. (This message was added in version 6.7.0.) in /home/songambele/public_html/wp-includes/functions.php on line 6121
IJUE NJIA YA KUFUATA - SONGA MBELE

IJUE NJIA YA KUFUATA


Kama haujui njia ambayo unapaswa kuchukua basi njia yoyote ile itkupeleka

Ebu fikiria kitu kama hiki hapa, umeenda stendi ili kukata tiketi, halafu unampa mkata tiketi pesa yako. Na unamwambia kwamba unaomba akupe tiketi unadhani atakuwambiaje? Au au nadhani swali gani atakuuliza? Unaelekwa wapi?  Ebu fikiria unamjibu kwamba sijui. Atakwambia kwamba kama haujui basi rudi nyumbani, kitu kama hiki ndicho huwa kinatokea kwa watu wengi kwenye maisha, yaani huwa kinawatokea watu wengi maishani. Yaani, huwa wanapita kwenye misha bila ya kuwa na mwelekeo. Ni sawa na kwamba huwa wanachukua njia yoyote maishani mwao. Hawajui haswa ni wapi wanaelekea.

Huyu hapaswi kuwa wewe. Hakikisha kwamba unakuwa na ramani ya wapi unaelekea. Jua nini unapaswa kufanya na kw anini unataka kuelekea huko. Jua ni watu gani ambao utapaswa kwenda nao ili uwezeu kufika na gharama ambazo utapaswa kulipa ili kufikia huko. Kama ni fedha jua kiwango cha fedha kitakachohitajika hataka kama ni kwa kukadiria, kisha anza kuweka mkakati wa kuhakikisha kuwa unapata kiasi hicho cha fedha


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X