Mapambano yanaendelea!


Kwenye Moira wa MIGUU, timu huwa haishindi wa kufunga goli dakika ya kwanza. Hata timu ukifunga goli dakika ya kwanza. Bado huwa haitangazwi Kuwa imeshinda.

Badala yake Ni mchezo huwa unaendelea mpaka dakika ya 90.

Na wewe fahamu kuwa mapambano yanaendelea. Hujafaulu kwa sababu ushindi wa muda mfupi uliopata. Huu ushindi huo wa muda ukupe NGUVU ya kuendelea mbele ila siyo kukufanya ubweteke.

Mapambano yanaendelea.

Imeandikwa na Godius Rweyongeza
0755848391
Morogoro-Tz

For booking: songambele.smb@gmail.com


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X