Month: May 2022

  • Utafanyeje Unapokuwa Na Wazo La Kufanya Biashara Ila Huna Mtaji

    Rafiki yangu, leo nataka niongee na wewe na kwa namna ya kipekee sana. Najua kwamba kuna vijana wengi huko mitaani ambao wana ndoto za kufanya makubwa. Vijana ambao wana ndoto za kuanzisha biashara ila tatizo au kisingizio wanasema,ni kwamba hawana mtaji. Je, ni kweli kwamba tatizo lako ni mtaji. Je, ni kweli kwamba hauna mtaji…

X