Kitu Kimoja Muhimu Unachohitaji kufahamu Kuhusu Uwekezaji


Rafiki yangu leo nataka nikwambie kitu kimoja na muhimu sana unachohitaji kufahamu kuhusu uwekezaji. Na kitu hiki siyo kingine bali ni kuwa usiwekeza kwenye kitu ambacho wewe mwenyewwe huelewi.

Kamwe usikubali kuitoa fedha yako ambayo umeihangaikia kwa jasho kubwa kuiwekeza kwenye kitu ambacho wewe mwenywewe huelewi.

Hakikisha kabla ya kuwekeza unajirisha kwa undani kuwa kitu unachoenda kuwekeza unakielewa vizuri na kwa undani.

Kama kitu hukielewi, basi uweke fedha yako hapo.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X